

MAADHIMISHO YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA
Tarehe 31 Desemba, 2010, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika salamu zake za mwaka mpya wa 2011 kwa Watanzania,kati ya masuala aliyozungumzia ni pamoja na kuliarifu Taifa kuhusu Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara yatakayofanyika mwaka 2011 ambapo yatafanyika nchi nzima na kilele chake kuwa tarehe 9 Desemba, 2011....
PMO MIAKA 50 YA UHURU
MAONESHO YA MIAKA 50 YA UHURU YAANZA RASMI LEO VIWANJA VYA MNAZI MMOJA KWA OFISI YA WAZIRI MKUU IKISHIRIKISHA IDARA NA TAASISI ZAKE.
|